DALILI ZA TATIZO HILI LA KUTOPATA CHOO
Dalili za tatizo hili ni kama ifuatavyo ÷
kupata Homa kali
kutapika na kupata vidonda nnje ya haja4 kubwa
kutumia nguvu na Muda mwingi kupata choo
ulimi kuwa na utando mweupe na hutoa harufu mbaya
kukosa hamu ya kula na tumbo kujaa gesi
kutetemeka kwa kuhisi baridii
NB *Ikiwa una dalili hizo hapo hakikisha haukai kimya kwa sababu itakupelekea madhara makubwa baadae*