*TATIZO LA KUKOSA CHOO*
*Maana ya kukosa choo;*
Hili ni Tatizo la kutopata choo Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara Chache
Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka Kama Cha Mbuzi
Kama tunavyojuwa karne hizi tulizo nazo tatizo hili la kukosa choo ni tatizo sugu na watu wengi wamekata tamaa vipi wajitibu tatizo hili .
Na tukumbuke kisayansi unatakiwa upate choo walau mara mbili mpaka tatu kwa siku hii itategemea umekula mara ngapi kwa siku.