FAIDA ZAKE NA KAZI ZAKE MWILINI;
Ni tibalishe nzuri kwa kutibu kisukari shinikizo la Damu, Vivimbe, mzio(allergy) saratani, upungufu wa nguvu za kike na kiume, hedhi kutokuwa na mzunguko sahihi
=Hupunguza kiwango cha sukari iliyozidi katika damu inawafaa wenye kisukari
=Huimarisha kinga mwilini
=Huupa mwili Oxygen na kusawazisha PH na Inapunguza makali ya saratani /kansa
=Husaidia mzunguko wa damu na kurejesha seli
=Huimarisha kumbukumbuku na kuzingatia
=Huamsha mihemko "LIBIDO" iliyotoweka muda mrefu
=Inaboresha upungufu wa nguvu za kiume na kike
=Inaongeza hamu ya tendo la ndoa
=Huimarisha nguvu wakati wa tendo la kujamiiana
=Hupunguza presha katika damu, husafisha mishipa ya kwenye moyo
=Inarekebisha presha ya kupanda na kushuka