Cafe troika (3 in 1)
cafe troika ina viambata vikuu vitata(3)
1. mzizi wa ginseng
2. tongtak ali
3. uyoga wa ganodema
je unajua faida za kila kiambata kwenye cafe troika?
1. faida ya mzizi wa ginseng
faida ya mzizi wa ginseng kutoka korea iliyopo ndan ya kahawa hii ni:-
-inachangamsha akili na kuimarisha kumbukumbu
-inaimarisha uwezo wa mtu kuona na kusikia kwa kuongeza vichocheo vinavyosaidia kusikia na kuona
-inaimarisha kinga ya asili ya mwili kwa kuupa mwili nguvu ya kupambana na magonjwa
-inapunguza bp (blood pressure)
-inasaidia kuzuia utasa/ugumba kwa kuzifanya organ zinazohusika na uzazi kuweza kufanya kazi yake kwa 100%