FAIDA ZA MOCHA*
Kuongeza mfumo wa kinga na STAMINA
Kupunguza kiwango cha sukari katika damu
Ina Ganodema dondoo ambayo ina faida ya kiafya
Kusaidia upokeaji wa oxygen mwilini
Kusawazisha PH ya mwili
Kufufua seli na kusaidia katika mzunguko wa damu
Kusaidia katika kumbukumbu
Kupunguza presha ya juu
Kuongeza umakini