Detoxification:Ni njia ya kuondoa sumu taka mwilini
Miili yetu hupokea sumu taka kupitia;
• Vyakula vya viwandani vyenye vihifadhi
• Moshi tunaovuta
• Kemikali zitokanazo na Madawa ya usafi
• Kemikali zitokanazo na bidhaa za urembo mf.lipstics,lotion,creams,perfumes,rangi za kucha,dawa za nywele.
• Maji
Sumu taka ziingiapo mwilini hushambulia seli na kupunguza ufanyaji kazi wale,hali hiyo husababisha yafuatayo;
• Matatizo ya tumbo kujaa gesi
• Maumivu ya misuli
• Kuchoka ovyo
• Kichefuchefu
• Maumivu ya kichwa
• Infection za mara kwa mara
• Kupendelea kula vyakula visivyo na manufaa kiafya mfano sukari
• Kuongezeka uzito haraka
• Kukosa usingizi mzuri
• Harufu mbaya ya mwili na mdomoni
N.B Detoxification husaidia kuimarisha afya yako kwa kusafisha mfumo wa kinga ya mwili,hivyo kuufanya mwili kuwa nanguvu muda wote .