Homoni ya testosterone homoni hii ni muhimu sana na ndio homon inayozalishwa kwenye tezi dume inapotokea mwanaume anakua na upungufu wa nguvu za kiume baada ya mdaa mfupi tu tezi dume inaanza kutanuka na kuleta madhara makubwa kwenye mfumo wa uzazi halikadhalika hata homoni hii inapokua chini ya kiwango kinacho hitajika mwili huanza kupata tatizo la kukosa hamu ya tendo, uume kusimama regevu ,uume kua mdogo na kurudi ndani , mbegu hafifu. Kushindwa Kurudia Tendo na kushindwa kufanya tendo kwa muda mrefu...
Inapotokea mifumo hii imepata shida au kuharibika automatically taarifa zitakua hazisafirishwi vizuri au tafsiri za taarifa zilizo pokelewa na kutolewa zinakua ni za uongo na hapa ndipo unapokuta mwanaume anawai kufika kileleni na anashindwa kuendelea na tendo...
Na hapo ndipo upungufu wa nguvu za kiume zinapozaliwa | Mwanaume tunapokushauri kutumia virutubisho lishe kusaidia kujenga iyo miundo mbinu ya neva na mfumo wa uzazi . Hili tatizo linatokana na mifumo ya mwili kutofanya kazi