FAIDA ZA UYOGA MWEKUNDU KIAFYA
Kazi zake kwa mtumiaji
• Inaongeza kinga ya mwili hivyo muhimu kwa wote wanaougua mara kwa mara.
• Inapandisha CD4 mwilini
• Inazuia matatizo ya moyo kama kutanuka kwa moyo
• Inazuia uzalishwaji wa seli za kansa
• Inapunguza madhara ya mionzi (chemotherapy)
• Inasaidia kuboresha mapafu na mfumo wa upumuaji.
• Inaongeza hamu ya kula
• Inaboresha mzunguuko wa damu katika mishipa mikubwa,hivyo kusaidia watu wenye presha
• Inaponya mishipa ya fahamu. na kuboresha seli za ubongo
• Huondoa mizio (allergy) aina zote.
• Inalinda na kusaidia figo na kufanya ifanye kazi vizuri. • Ni imara kushindana na virusi, fungus, bacteria na wadudu wengine mwilini
• Inasaidia kuondoa sukari,inafanya damu iloganda iyeyuke na inaondoa sumu mwilini.
• Ni rahisi kuyeyuka kwa 100% hivyo kuleta matokeo ya haraka sana