Kama unavyo ona nyumba lipo ktk eneo kubwa sana yakutoa nyumba nyingine kwa nyuma!! mfano ukiibomboa na kujenge unaweza ukatoa nyumba ya kupangisha vyumba 14 ikiwa chumba na varanda master. na eneo linabaki ya kupack gari. na ukapangisha kwa mwezi. kama jirani huyo alinunua kwetu.