Ni booonge la Eneo lililokwenda shule.Ninapsema viwanja vya mjini,basi ujue ni viwanja vikali na vya mjini kweli.
viwanja vipo Toangoma wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
viwanja vimekatwa kwa mitaa na barabara.
size ya viwanja ni 50x50 futi.
Bei yake ni kati ya milioni 3- had 6 inategemea na mtaa, barabara au vyenginevyo
ukubwa wa viwanja ni size moja,hata Kama itatofautiana bei.
viwanja vipo umbali wa kilometa 1 tu kutoka barabara kuu ya Iami yani Toangoma magengeni.
umeme upo tayari,maji yapo,yani unajenga na kuhamia.kwa maana nyumba ni nyingi kama zote.
kwa maelezo zaidi usisite kunipigia simu wakati wowote.