*hair straightner comb*
suluhisho la nywele zinazojifunga, zisizonyooka na zilizo rafu.
.
kwa hiyo...
kitana hiki utakitumia kunyoosha nywele, kuweka mawimbi na kustyle nywele jinsi unavyotaka.
.
na utakipata kwa tsh 25,000 tu, badala ya tsh 35,000. vimebaki 15 tu.
kwa sababu kinanyoosha, kinastyle na kuweka mawimbi (curls)...
mawigi aina zote.
nywele zenye dawa na nywele zisizo na dawa.
na kinatumia umeme kidogo sana (45w), lakini kina moto mkali na wa kutosha (130 mpaka 240 degrees).
unaweza kutumia kwa matumizi binafsi au saluni.
ni salama kwa matumizi ya watoto pia.
bei ni tsh 25,000/-...
_lipia bada ya kupokea mzigo_
.
tupo dsm-tandika-stendi ya magari ya muhimbili
whatsapp/call: