Mwani ni zao linalolimwa kando kando ya bahari, hua unatoa 'fibre' ambazo hutumika kuzalisha bidhaa mbali mbali za ngozi
Pia Faida nyingine za kiafya za mwani
1. Kupandisha kinga za mwili
Mwani umejaa sana antioxidants ambayo husaidia kulinda mwili.
2. Inasaidia afya ya mmeng'enyo wa chakula
3. Inaweza kupunguza viwango vya sukari kwenye damu
4. Inaweza kusaidia katika kupunguza uzito
5. Inaweza kupunguza hatari ya ugonjwa wa moyo
6. Inasaidia kazi ya tezi
7. Inaweza kudhibiti saratani