Mafuta Tanzania, tunauza mafuta ya fuatayo na kazi zake
1.mawese,haya ni mafuta ya mchikichi yanakua bado na rangi nyekundu na njano,yanaradha,na mazuri kwa kupikia mboga,maharage na futali
2.kambili,,ni mawese yaliyo badilishwa rangi kwa moto,hayana rangi na radha,yanafaa kwa kukangia samaki na kupikia wali
3 mise ni mafuta ya kiini cha ndani cha mbegu ya chikichi haya yanatumika sana kutengenezea sabuni,na mafuta ya kujipaka
4 RBD haya ni (refinery bleached deordorized ) haya ni mawese yaliyotolewa rangi kwa kitumia chemical yanafaa sana kwa kutengenezea sabuni... yote yanapatikana kwa Mr.HaRo's ndani ya jiji la dar es salaam, free derivery ndani ya dar es salaam