Forever Bee Propolis is a natural supplement made from the material bees created to fortify and protect their hive. This natural substance has also been found to help boost immunity and combat the effects of free radicals.
*Hii ni antibiotic ya asili inayotengenezwa na nyuki baada ya kuchukua unato utokao kwenye miti(sticky resin) na kumeng’enya. Nyuki hutumia propolis kuizungusha kwenye mizinga ili kuukinga mzinga usishambuliwe na wadudu. Bidhaa hii ni ya asili kwa asilimia mia moja na ina virutubisho vingi kama madini, enzymes , amino acids 22 na Vitamini B-complex.
Bee propolis ina kampaundi nyingi zinazo ongeza kinga ya mwili, kuzuia magonjwa nyemelezi, kuua bacteria ,fangas, virusi , pia zinazuia vimbe mwilini.
Faida: Pumu, mafua, vidonda, kifua , koo, arthritis, MRSA, virusi na kuongeza kinga ya mwili.