Je wewe ni mfanyabiashara? au unatamani kuwa mfanyabiashara wa sabuni za magadi?
TWENDE PAMOJA KWA MAELEZO HAYA MACHACHE
Mr.HaRo's mtengenezaji wa sabuni za magadi nimekuja na njia rahisi ya kufanya kazi na wafanyabiashara wa sabuni ambapo mteja atajipatia sabuni kwa bei nafuu sana
kwamfano ; unataka sabuni yenye ukubwa wa urefu 35cm,upana5cm na unene 2.54cm ambayo inakua na ujazo wa 444.5cm3 sabuni hiyo mimi ninaiuza Tsh 2000 bei ya reja reja na Tsh1700 bei ya jumla lakini kwa mtu akitaka kuanzia caton 6 simuuzii bali namyengenezea ambapo ataipata sabuni hiyo kwa gharama ya Tsh1433.3 punguzo la asilimia 28.33%... dar es salaam usafiri ni bure ,mikoani ninatuma kwa uaminifu mkubwa sana,
Nipo temeke ,google map search "HaRo's Industry"
nipigie kwa namba hii kwa mawasiliano zaid