Viashiria Vya Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Yake
Dar es Salaam, Temeke
9 views
Viashiria Vya Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Yake
+1
2
Mtu mwenye tatizo la upungufu wa nguvu za kiume huwa na dalili zifuatazo
________________
upungufu wa nguvu za kiume ni hali inayomtokea mwanaume kushindwa kushiriki tendo la ndoa ipasavyo na kushindwa kumridhisha mwenza kutokana na upungufu wake
____________
1] kushindwa kabisa kusimamisha uume wake
2] uume kusimama ukiwa legelege
3] kuwahi kumaliza tendo la ndoa
4] mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa katika baadhi ya staili ( mara nyingi mwanaume huyu huwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa staili moja tu ).
5] uume kutokuwa na uwezo wa kusimama wenyewe bila kushikwashikwa ama kutomaswa kwa muda mrefu.
6] uume kusinyaa ukiwa ndani ya mwanamke.
7] uume kusinyaa, pindi inapotokea activity yoyote ya kiungo ama ogani nyingine ya mwanaume wakati wa tendo la ndoa. kwa mfano, wakati wa tendo la ndoa, ikitokea mwanaume amekohoa
8] uume kusinyaa mara tu baada ya kutolewa ndani ya uke
9] kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa.
10] kupatwa na maumivu wakati wa tendo la ndoa