Punyeto ni kitendo cha kusugua sehemu ya siri ya uzazi kwa kutumia mkono au sabuni na kufika kileleni.(kujitoa manii)
athari zake
1] huuwa na kumaliza kabisa nguvu za kiume.
2] kushindwa kusimamisha uume zaidi ya mara 1 na uume kuwa legevu.
3] kulegeza misuli ya uume na uume kusimama legelege
4] ni chanzo kikubwa cha kupoteza kumbukumbu
5] husababisha uchovu muda wote.
6] humfanya mtu kupoteza nguvu za mwili na kumfanya kuwa legevu na mvivu.
7] husababisha mwanaume kutoa manii haraka wakati wa tendo la ndoa.
8] husababisha msongo mkubwa wa mawazo.
9] husababisha mtu kukosa hamu kabisa ya tendo la ndoa.
10] husababisha mtu kuathilika kisaikolojia.
11] humfanya mtu kuwa mtumwa wa kitendo hicho.
12] inadhoofisha mwili na kuufanya jalala la maradhi.
13] humfanya mtu kutazama na kuwaza sana wanawake,na pia kutazama sana picha na video za ngono.
14] kupungukiwa mbegu katika mfuko wa uzazi.
15] kuharibika kwa mishipa ya fahamu.
16]kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni.