Jinsi Ya Kutibu Ugonjwa Wa Bawasiri{HEMORRHOIDS} Na Kuujua
Dar es Salaam, Temeke
6 views
Jinsi Ya Kutibu Ugonjwa Wa Bawasiri{HEMORRHOIDS} Na Kuujua
+1
AMOUR
Brand
Fertility Supplements
Type
Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kupelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
*dalili za bawasiri*
kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
kupata kinyesi chenye damu
kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa
kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa kama kidonda
uume kusinya (unapoteza urefu na ukakamavu)
*madhara ya bawasiri*
upungufu wa damu mwilini
kutokwa na kinyesi bila kujitambua
kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
kupungukia nguvu tu za kiume (kwa wanaume)
kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
kupata tatizo la kisaikolojia
kutopata ujauzito
mimba kuharibika