Kwa shilingi laki moja unapewa kifaa cha Airtel router bule(WIFI) ukiwa internet bila kikomo siku 30, pia utapata ofa kwenye lain mbili za airtel yako na MKEO au MUMEO au RAFIKI,kaka,dada,mama,Baba mtapata dakika 1000allnet,SMS1000 na GB 10, then namba izo mbili ZINAZO pata iyo ofa zinapigiana simu bule bila MAKATO kwa siku 30. NB. Ofa iyo ni Kila mweZi unapolipia.
-Pia tuna huduma za BULK SMS na lipa NAMBA