Faida za SEA MOSS
-Huchochea seli kupata hewa ya Oxygen
-Huboresha ufyonzaji wa virutubisho
-Huimarisha mifupa
-Hunuisha ngozi/ nywele/kucha
-Huongeza kinga mwilini
-Hupunguza uvimbe
-Huondoa kamasi katika mwili
-Hupambana uzee ( anti-aging)
-huongeza nishati ( energy)
- inaimarisha kazi ya Thyroid
-Hupunguza maumivu ya viungio ( joints)
-Afya ya moyo
-husaidia kudhibiti hamu ya kula
-Nzuri kwa lishe
-Nzuri kwa afya ya uzazi
-husaidia kupambana a maambukizo
-afya ya akili na hata mwili kiujumla
- Afya ya mapafu yenye maambukizo
-Afya ya mwanamke
-Huboresha tendo la ndoa
-Husaidia matatizo ya allergy mbalimbali
-husaidia kutatua shida za usingizi.
.