Raksa seafood tz ubora kutoka baharini!
umechoka na samaki wasio safi? tunakuletea suluhisho!
tunauza bidhaa safi za baharini:
peeled prawns - tayari kupika. tumeshapea na kusafisha.
ngisi - wakubwa, wenye nyama. tsh 18,000/kg tu!
robster na samaki wengine kulingana na msimu.
kwanini sisi?
fresh kila siku - tunapata moja kwa moja kutoka baharini
bei ya jumla na rejareja - tunahudumia migahawa, hotelini na nyumba
usafi 100% - bidhaa zetu zinashughulikiwa kitaalamu
delivery dar es salaam - tunafikisha kwa wakati
okoa muda jikoni. okoa pesa. pata ubora.
oda yako leo!
[whatsapp ipo]
dar es salaam
raksa seafood tz
"ubora kutoka baharini hadi mezani kwako"
tuma "oda" upate bei ya leo