Nauza vifaranga wa chotara wa mwezi mmoja na kuendelea
Wameshapatiwa chanjo zote tayar
Wapo majike na majogoo unaweza kuwafuga kama nyama ( miez 3-6) au kama wa mayai wataanza kutaga baada ya miez 4 na nusu
Kuku watakua tayar kuanzia tarehe 23 mwezi huu
Weka oda yako mapema kwa wakazi wa kigamboni, mbagara na temeke tunakuletea mpk ulipo kwa oda ya kuanzia kuku 10
Karibuni sana