Domestic Sewage, Car Parking, Gas Supply, Rain Water Drainage, Water Supply, Electric Supply
Facilities
Mradi mpya!! Kigamboni kisarawe ii - kigogo
-ni mradi mzuri na wa kuvutia sana.
-umbali ni 18km toka kigamboni ferry na100m toka main road(mwasonga road)
-viwanja vimepimwa na vina beacon kabisa.
-barabara za mtaa zimechongwa na neighborhood yake inavutia kwa kweli.
-huduma zote za kijamii zinapatikana.
-ni mahali pakununua na kujenga sasa.
-bei ni tshs 20,000 kwa square meter moja.
-hati utapewa baada ya kumaliza malipo ya kiwanja.
Malipo
unaweza lipa cash ama ukaanza na asilimia 50 na inayobaki utamalizia kidogo kidogo ndani ya miezi 5 ukiigawanya kwa kila mwezi.