Rain Water Drainage, Water Supply, Electric Supply, Gas Supply, Car Parking, Domestic Sewage
Facilities
Mradi mpya!!
kigamboni kibada
-ni mradi mzuri na wa kuvutia sana.
-umbali ni 2km toka barabara ya lami)
-viwanja vimepimwa na vina beacon kabisa.
-barabara za mtaa zimechongwa na neighborhood yake inavutia kwa kweli.
-huduma zote za kijamii zinapatikana.
-ni mahali pakununua na kujenga sasa.
-bei ni tshs 22,000 kwa square meter moja.
-hati utapewa baada ya kumaliza malipo ya kiwanja.
malipo
unaweza lipa cash ama ukaanza na asilimia 50 na inayobaki utamalizia kidogo kidogo ndani ya miezi 3 ukiigawanya kwa kila mwezi.
#site visit ni kila siku.
contact:
karibuni sana 🙏