Coldwell property limited ni wauzaji na wakopeshaji wa viwanja na mashamba bila riba wala dhamana.
Mradi mpya!! Kigamboni vumilia ukooni(mwembe mdogo)
-ni mradi mzuri na wa kuvutia sana.
-umbali ni 18km toka kigamboni ferry na 1.5km toka main road(kimbiji road)
-viwanja vimepimwa na vina beacon kabisa.
-barabara za mtaa zimechongwa na neighborhood yake inavutia kwa kweli.
-huduma zote za kijamii zinapatikana.
-bei ni tshs 15,000 kwa square meter moja.
-hati utapewa ndani ya mwezi mmoja baada ya kumaliza malipo ya kiwanja.
Malipo
unaweza lipa cash ama ukaanza na asilimia 50 na inayobaki utamalizia kidogo kidogo ndani ya miezi 5 ukiigawanya kwa kila mwezi.
site visit ni kila jumamosi.
Ofisi zetu zipo mabibo mwisho jirani na stendi ya daladala.
Contact: