Banda lina uwezo wa kuingia mifugo mingi kama ikiwa ni kuku,sungura,n.k
Pia lina sehemu ya trei za kudondokea uchafu kama kinyes ambazo una uwezo wa kuzitoa na kuenda kumwaga na kurudisha
Tunapatikana kigambon,na ukihitah banda popote ulipo utapa
Ukiweka oda yako inatuchukua siku 3 had tano kwa banda kuwa tayar,inategemeana n ukubwa tuu.Karibun sana