➡ Maumivu ya mgongo au kiuno
➡ kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu za kijinsia(nguvu za kiume /za kike)
➡ .kizunguzungu
➡ .kukosa usingizi au usingizi wa mara kwa mara.
➡. maumivu makali. sehemu ya mwili, kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali.
maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma kama sindano
➡. mgongo kuwaka moto.
➡.kichefuchefu,
➡.kiungulia,
➡.tumbo kujaa gesi,
➡.tumbo kuwaka moto,
➡.maumivu makali sehemu kilipo kidonda,
➡.kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika kama cha mbuzi.
➡.kutapika nyongo,
➡.kutapika damu au kuharisha,
➡.sehemu za mwili kupata ganzi
➡.kukosa hamu ya kula,
➡.kula kupita kiasi,
➡.kusahahu sahau na hasira.
Vidonda vya tumbo ni ugonjwa hatari sana kwa mtu kuishi nao kwa muda mrefu bila kufanya tiba kwani unaweza kua ndio sababu ya kupata bawasiri, ngiri pia unapelekea upungufu wa nguvu za kijinsia