!! kuna sababu nyingi zinazoweza kupelekea kupotea kwa nywele kupatwa na matatizo ya nywele mbalimbali upara kiwalaza !!
1} sababu za kimazingira,
2} kuzeeka,
3} msongo wa mawazo (stress),
4} kuvuta sigara kupita kiasi,
5} lishe duni,
6} homoni kutokuwa sawa,
7} kurithi
8}maambukizi kwenye ngozi ya kichwa
9} matumizi yasiyo sahihi ya vipodozi vya nywele
10} baadhi ya dawa za hospitali
11} matatizo katika kinga ya mwili li.
12} upungufu wa madini mwilini
na magonjwa mengine sugu,
tuna mfumo mzuri, bora wa uhakika juu ya kutibu tatizo hili la kipara mpaka unapona
uvumilivu unahitajika zaidi kwani ni tiba inayochukua muda mrefu kwa kawaida kama siku 30-90
njia za kujisaidia mwenyewe
(a) tumia vitamin
vitamin supplements zinakupa virutubisho vinavyo kusaidia kukuza nywele zako.
image result for vitamin supplements for hair
(b) kula vyakula vya protein.
vyakula vya protein kama vile nyama, maziwa, maharage ya soya, maparachichi, na mbegu za maboga