Tunauza taa maalumu kwa ajili ya kulelea vifaranga.
#pigasimu071XXXXXXX
■bei 15,000/=tsh
■taa hizi hutoa mwanga mwekundu ambao hupelekea kifaranga kula vizuri chakula pia humpunguzia stress.
■taa moja hutosha kwa vifaranga 100.
■hutoa joto la kutosha.
■hudumu kwa muda mrefu bila kuungua.
■hutumia umeme kidogo
■huitaji tena kutumia mkaa hivyo hupunguza gharama
■huepusha uwezekano wa vifaranga kupata magonjwa ya mfumo wa hewa yanayo sababishwa na gesi za carbon monoxide.
tupo dar es salam
pigasimu071XXXXXXX