Umeshawai kukata tamaa kwa sababu ya gharama za chakula cha mifugo?
“mifugo inahitaji chakula, bei ya chakula juu, faida hakuna... unajiuliza: ‘nitaendelea kweli?’”
kabla hujauza mifugo yako... kabla hujafunga banda...
sikiliza hii kwa moyo wako wote
kuna suluhisho — pelleti
na kuna mkombozi — pellet machine
mashine hii inakusaidia kutengeneza chakula bora cha mifugo kwa kutumia:
mabaki ya shambani
pumba
mashudu
maganda ya mpunga
majani mbalimbali
manufaa ya pelleti
unaokoa pesa za chakula
mifugo inanenepa haraka
unapata faida zaidi
bei za pellet machines
single phase
150kg kwa saa — tsh 1,kg kwa saa
three phase
350kg kwa saa —
500kg kwa saa —
750kg kwa saa —
tani 2 kwa saa —