TANGAZO TANGAZO!!
Unahitaji mashine ya kupigia mazao kwa haraka na kwa ufanisi wa hali ya juu?
Tunayo mashine bora ya kisasa kwa ajili ya kupigia mazao mbalimbali kama:
Mahindi
Maharage
Mtama
Ulezi
Kunde
Ngano
Mpunga
Choroko
Njugu
Ufuta
Mashine hii ina uwezo mkubwa – inapiga hadi:
Gunia 30 za mahindi
Gunia 15 za maharage
Na gunia 10 za mtama... NDANI YA LISAHA MOJA TU!
Inatumia engine ya petrol, na kwa wanaotumia umeme wa majumbani, pia tunazo zinazotumia motor ya umeme!
Ni portable – rahisi kubebwa kwa boda boda!
Imetengenezwa kwa vyuma imara, hudumu kwa muda mrefu – na unaponunua kwetu, unapata warranty ya mwaka mmoja!
Bei ni Tsh 2,900,000 tu!
Wahi sasa! Piga simu
Tupo DAR ES SALAAM
Usikose! Mashine bora kwa bei nafuu – fanya kazi nyingi kwa muda mfupi!