TUNAUZA FEED MIXER MACHINE (Mashine ya Kuchanganya Chakula cha Mifugo)
Uwezo Mkubwa | Ubora wa Hali ya Juu | Matumizi Rahisi
Capacity: Kilo 200–250 kwa mara moja
Mashine maalumu kwa ajili ya kuchanganya chakula cha mifugo kwa ufanisi mkubwa
Huchanganya chakula vizuri na kwa usawa
Inatumia umeme wa majumbani (Single Phase)
Ina mota yenye nguvu ya kuzungusha mashine bila shida
Imetengenezwa kwa Stainless Steel – hailiki kutu kabisa
Ina matairi, hivyo ni rahisi kusukuma na kuihamisha kutoka sehemu moja kwenda nyingine
Tupo Dar es Salaam
Tunasafirisha mikoani kote kwa uwaminifu mkubwa
Wasiliana nasi sasa:
Usikose fursa hii ya kuboresha ufugaji wako kwa mashine ya kisasa na imara!