MINI TRACTOR HIROTA RT140
Power Tiller Tanzania tunakuletea Mini Tractor Hirota RT140 yenye nguvu, imara na matumizi madogo ya mafuta kwa ajili ya kuongeza ufanisi wa shughuli zako za kilimo.
BEI: TSH 15,400,000/= TU
Inafaa kwa:
Kulima mashamba madogo na ya kati
Kupanda na kupalilia mazao
Kuvuta trela na kubeba mizigo
Kuvuta pampu za maji na vifaa vingine vya kilimo
Sifa zake:
Engine ya Diesel yenye nguvu na uchumi wa mafuta
Rahisi kutumia na kutunza
Imara na ya kudumu
Inakuja na Canopy kwa kinga dhidi ya jua
Inafaa kwa wakulima wa kisasa wanaotaka kuongeza uzalishaji
Tupo Dar es Salaam
Mawasiliano:
+