Unatafuta mashine bora ya kutotoleshea mayai?
Hii hapa MASHINE YA KISASA YA MAYAI 150 – Fully Digital, Automatic!
Inageuza mayai yenyewe!
Inadhibiti joto na unyevunyevu yenyewe!
Inaendelea kutunza joto hata umeme ukikatika!
Ufanisi wa hadi asilimia 98%!
Rahisi kutumia – haitaki ujuzi wa kiufundi!
Inatumia umeme wa kawaida, solar, na battery!
Inatotolesha mayai ya kuku, kanga, bata, kware, njiwa, hadi ya nyoka!
Ina sehemu ya kupimia mayai yenye mbegu!
Unapata zawadi ya vyombo vya maji na chakula kwa vifaranga!
Bei? Ni TSh 580,000 tu!
Tunasafirisha mashine mikoani kwa utaratibu mzuri kabisa!
Tupo Dar es Salaam
Piga sasa: