MASHINE YA KUSAGA NA KUKOBOA MPUNGA
Kazi mbili ndani ya mashine moja (Two Function Machine)
Je, unatafuta mashine bora ya kuongeza thamani ya mpunga wako?
Suluhisho ni hili hapa!
Uwezo (Capacity): Kg 200 – 300 kwa saa
Inafanya kazi ya kukoboa na kusaga kwa wakati mmoja
Inatoa mchele safi na wenye ubora wa juu
Rahisi kutumia na kudumu muda mrefu
Inafaa kwa wakulima na wafanyabiashara wa mchele
Inaongeza thamani na faida ya mazao yako
Fursa ya biashara yenye faida kubwa hasa maeneo ya kilimo cha mpunga!
Ofisi zetu:
Tegeta Wazo Hill – Dar es Salaam
Bagamoyo
Wasiliana nasi sasa:
+
Usikose nafasi hii ya kuboresha uzalishaji wako!