mashine ya kutotoleshea mayai (75 eggs)
je, unataka kuangua vifaranga kwa uhakika na ufanisi mkubwa?
tunayo mashine ya kisasa, fully digital & automatic
hugeuza mayai yenyewe
hudhibiti joto na unyevu kiotomatiki
hutunza joto hata umeme ukikatika
ufanisi wa kuangua vifaranga zaidi ya 98%
rahisi kutumia – toleo jipya la kisasa
inatumia umeme wa kawaida, solar na battery
inatotolesha mayai ya aina zote:
kuku, kanga, bata, kware, njiwa, n.k
ina sehemu ya kupimia mayai yenye mbegu
zawadi: taa ya kulelea vifaranga
bei: tsh 400,000/=
mahali: dar es salaam
usafirishaji: nchi nzima kwa utaratibu mzuri
wasiliana nasi: