Matumizi ya taa hizi:
* ni mahususi kwa ajili ya kulelea vifaranga vya kuku, bata, kware, kanga, na njiwa.
* kutengeneza mfumo wa joto wa kisasa na salama kwenye brooder (kiota cha kulelea).
* inafaa pia kwa matumizi mengine ya mifugo inayohitaji joto la dharura.
faida zake kwa mfugaji:
* hupunguza vifo vya vifaranga: zinatoa joto sahihi na linaloenea sawia bandani.
* hupunguza stress: mwanga wake mwekundu huwatuliza vifaranga na kuwasaidia wale vizuri ili wakue haraka.
* huokoa gharama: zina matumizi madogo ya umeme (tanesco) ukilinganisha na njia za kizamani.
* usafi bandani: hakuna moshi au harufu mbaya kama ilivyo kwenye mkaa au
wasiliana nasi sasa068XXXXXXX