Tangazo la mashine ya kukatia malisho ya mifugo
chaff cutter tan 3.5 yenye midomo mitatu
bei: tzs 3,250,000/= tu
inakata majani, mabua ya mahindi na malisho ya mifugo kwa kasi kubwa sana – hadi tani 3.5 kwa saa.
mfumo wa midomo mitatu huongeza ufanisi wa kazi na kurahisisha kulisha mashine bila kusimama mara kwa mara.
inaendeshwa kwa engine ya mafuta, hivyo unaweza kuitumia hata maeneo yasiyo na umeme.
chaguo bora kwa wafugaji wa ng’ombe, mbuzi, kondoo na nguruwe wanaotaka kuokoa muda na kuongeza uzalishaji.
imara, yenye nguvu na rahisi kutumia!
tunapatikana dar es salaam
piga/whatsapp:
wahi sasa – boresha ufugaji wako kwa mashine bora!