mashine za kusaga malisho ya mifugo – chaff cutter machine
kwa ajili ya ng’ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe, sungura, kuku na mifugo mingine!
zinasaga kwa ufanisi:
mabua ya mahindi
majani ya maharage
majani ya migomba
magunzi
nyasi (kavu & mbichi)
mashudu
matawi ya miti
aina na bei za mashine (full combine):
tani 4.5 kwa saa – tsh 4,500,000
ina roller | umeme / petrol / diesel
tani 3.5 kwa saa – tsh 3,000,000
| umeme / petrol / diesel
tani 2.5 kwa saa – tsh 2,500,000
ina roller | umeme / petrol / diesel
tani 1.5 kwa saa – tsh 1,700,000
umeme / petrol / diesel
tunapatikana goba dar es salaam
tunasafirisha mikoa yote tanzania
mteja analipia baada ya kupokea mashine!
piga simu au whatsapp:
karibu uboreshe ufugaji wako kwa teknolojia ya kisasa!