Nime hitimu elimu ya msingi mwaka2009 mbuyni premier na kujinga na macechu secondary 2010 nika maliza 2013 baada ya hapo nika anza kuji changanya na mambo ya udereva wa magari nika jiunga na chuo cha ufundi veta tanga
Still Studying
No
Skills
Dreva
Languages
Kiswahili na English
Certifications
Ndio ninavyo vyeti vya shule na cheti cha udereva
Highest Qualification
Others
Nina uzoefu mkubwa na udereva na kijana mwaminifu na mtunzaji Mali yoyo ile Nita furahi Niki jiunga kufanya kazi na yoyote kujenga taifa