Tendo la ndoa ni dawa kwa binadamu, tendo la ndoa lisipofanyika kikamilifu au lisipofanyika kwa muda mrefu katika ndoa kunaweza mfanya mtu kuwa na HASIRA sana, Makasiriko ya hovyo bila sababu, Ugomvi katika ndoa, msongo wa mawazo, uwezo wa kufikiri na kung'amua jambo kupungua, pamoja na kukosa usingizi, Tendo la ndoa ni dawa nzuri kwa matatizo yote ya mwili na akili
Sasa kama wewe ni wa dakika moja chali mfikirie mwenzako yupo katika hali gani, akianza kuchepuka mambo yanaharibika zaidi