USIYKIMBIE MTATIZO .By ALFAN M.RASHID pia ni mwandishi wa maadui 100 wa mafanikio yako.
"Njinsi ya kuifikia hatima yako licha ya magumu unayopotia ".
Rafiki hakuna atajayejichosha kutaka kujua maumivu uliyopitia wakati wa kukua kwako , na jua halitasimama kwa sababu ya shida nyingi ulizonazo .Haya ni maisha yako ,na wakuyaboresha ni wewe mwenyewe .Ukijielea na kuishi kivivu ,hakika utakufa masikini .
Kosa kubwa unaloweza kulifanya maishani mwako ni kutumia matatizo uliyonayo kuwa kisingizio cha kutopiga hatua .Historia ya familia yako inaweza kuwa ya kuhuzunisha ,lakn haupaswi kukstishwa tamaa na hali duni waliyokuwa nayo wazaziwako .
kuzaliwa na kulelewa katika mazingira magumu ni ukumbusho kuwa ,haupaswi kuwa mzembe kiasi cha wanao kuja kuishi maisha ya kushindia mlo mmoja kama ulivyo ishi wewe.
karibu ukisome.kitabu hiki hata kama ulikuwa umekata tamaa naamin utainuka tena na kupigania ndoto zako na kutimiza malengo .
HARDCOPY 15000
F2ABOOKSHOP ""we move t