RAIS ANAMPENDA MKE WANGU BY ERIC SHIGONGO.
Kama ni mafanikio alikuwa nayo tena katika umri mdogo, na kwa mafanikio hayo alikuwa na uwezo wa kumwoa msichana yeyote jijini Dar es salaam alikoishi, lakini Derrick hakufanya hivyo. Badala yake aliamua kwenda kijijini kwao kutafuta mchumba, alitaka kuoa msichana mwenye shida kutoka kijijini ili kumsaidia maishani. Hivyo ndivyo alivyomwahidi mama yake mzazi!!
Hakujua kwa kufanya hivyo alikuwa akitafuta kifo chake na mateso makubwa maishani, kwani wema wake uligeuka majuto makubwa.
Hii ni hadithi yakusisimua na kufundisha mengi maishani, ukidiriki kuanza kusoma kitabu hiki hutotamani kukiweka chini... !
HARDCOPY 15000
PAGE: 500
DM/CALL: +