OPERESHENI FUTA YA SULEIMAN KIJOGOO.
Katika mji mkuu wa msumbiji, Maputo kunatokea mauaji ya maafisa wawili wa usalama kutokea Tanzania . Kinatumwa kikosi cha mashushushu watatu wa siri ili kwenda kuchunguza na kumnasa muhusika bila mafanikio. Badala yakupokea habari njema za kupatikana kwa muuaji anayewatafuna maafisa wa siri wa upelelezi zinafika taarifa mbaya kuwa, maafisa watatu waliotumwa nao wameingia mtegoni mwa adui, wameuawa...
Itaendeleaa...
Chukua nakala yako leo ujipatie uhondo wa kitabu hiki cha kijasusi.
Hardcopy 7000
Dm/Call
F2A BOOKSHOP "we move together".