Njia bora za ufugaji wa kuku na tiba zake by zubagi akilimia
inasikitisha sana mfugaji ananunua vifaranga 300 vya kuku, wiki mbili vinakufa 200, hiyo ni hasara kubwa sana katika ufugaji na inakatisha tamaa na kurudisha nyuma ndoto zako za utajiri... usidhani umerogwa.
kawaida na kitaalamu, kifaranga hakitakiwi kufa kwa ugonjwa wowote kikiwa chini ya uangalizi bora! fuata sheria za ufugaji wa kuku kinga na tiba zake...
hakika utakuwa bilionea mfugaji, hata bill gates alipokuja alipokuja tanzania alisema "kwa africa ukitaka utajirike haraka, fuga kuku... unaweza kutengeneza mamilioni ya pesa.
fuga kuku kuanzia leo, uwe tajiri... mtaji kidogo! elimu kidogo! unatengeneza pesa nyingi. kumbuka jogoo mmoja na mtetea mwenye vifaranga kumi ukiwafuga kwa utaalamu, wanaweza kukufanya uwe milionea wa africa
hardcopy 5000
dm/call. +
f2a bookshop
we do sell books (hardcopy & softcopy), send life,love,business &fact quotes.