NILIKUWA KONDA KWENYE DALADALA LA MAJINI BY Irine Ndauka.
"Mimi nimesimamisha daladala vituo viwili au vitatu, wewe unasemaje nilisimama kila kituo na abiria wakawa wanapanda? Yaani abiria wapande mimi nisiwaone na wanasimama mlangoni? Si mahoka haya jamani" Alisema dereva wangu mpaka nikawaza kuwa, huenda ni kweli mimi nina matatizo yangu na sio daladala yengewe.
Mbaya zaidi pamoja na kuwa tumepakia abiria wengi ambapo tungepata hata 40000 kutokana na ukubwa wa basi lakini chakushangaza niliambulia 7000 tu, japo nina uhakika abiria wote wamelipa nauli. Yakoje haya nilijiuliza huku nikiwa nimeishiwa nguvu...
BOOKSHOP "we move together"
Tunapatikana Tabora mjini stend ndogo na Nzega mjini mtaa wa ntinginya.