SABABU ZA TUMBO KUJAA GESI
Matatizo kwenye mmeng'enyo wa chakula
Mwili kukosa maji
Kukosa choo kabisa au kupata choo kigumu
Aleji/Mzio wa chakula
Maambukizi ya bacteria, virusi au fangasi ambayo huzifanya seli nyeupe kwenye mapambano
Mejeraha kwenye mfumo wa chakula
Mabadiliko ya homoni
Saratani
DALILI ZA TUMBO KUJAA GESI
Homa
Muwasho kwenye koo, machozi
Kukosa choo au kupata choo kigumu na kuharisha
Uwepo wa damu kwenye hajakubwa au mkojo
Kupungua kwa uzito kusiko kawaida
Maumivu kwenye sehemu za tezi hasa kwenye koo na kwapa
Mwili kukosa nguvu na uchovu sana
Kuvurugika kwa hedhi
Bawasili
Ubongo kutofanya kazi vizur