BAWASILI HUSABABISHWA NA NINI?
Uzee- kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa ugonjwa huu kwa baadhi ya watu.
Sababu za kurithi- baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaufu wa ukuta huo wa njia ya haja kubwa ingawa ni kwa asilimia chache.
Kuharisha sana kwa muda mrefu
kutumia vyoo vya kukaa.
Mfadhaiko stress. Hii husababisha mmeng'enyo wa chakula kutoenda vizuri na constipation hujitokeza.
Uzito na unene kupita kiasi husabaisha mishipa ya Damu sehemu ya haja kubwa kupasuka na kuonyesha dalili ya vinyama kuona na maumivu makali.