tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Kilimo Inauzwa
Iringa, Iringa, Wasa, 06/05
13 maoni

Acre 1200 Zinauzwa Iringa

+1
1
Shamba
Aina
1200sqm
Mita za mraba
Kibiashara
Matumizi ya Sifa
Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji, Usambazaji wa Gesi, Bomba la maji taka, Maegesho ya Gari
Vituo vya
Yes
Chaji ya Huduma
1000000
Ada ya Utafiti
1000000
Ada ya Maendeleo
1000000
Ada ya Kisheria
Shamba lenye Ukubwa wa heka 1200 kuna trecta 1 na majembe yake kuna ng'ombe140 wa maziwa na maziwa yanakamuliwa lita 400 kwa siku kuna nyumba 3 na mabwawa manne ya kufugia samaki"Kuna msitu wa miti ya mbao heka 50 mashine za kuvuta maji na mashne za kuchimba mashimo na ina hati haidaiwi, bei bilion1.7,,shamba lipo km 24 kutoka barabara kuu ya lami.barabara ya kuingia had kufika shamba ni nzuri.kwa picha za shamba nitafute kwa namba WhatsApp071XXXXXXX
Acre 1200 Zinauzwa IringaAcre 1200 Zinauzwa IringaAcre 1200 Zinauzwa Iringa
TSh 1,700,000,000Outright Price
3 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif