Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Gesi, Usambazaji wa Maji, Maegesho ya Gari
Vituo vya
Yes
Chaji ya Huduma
30000
Ada ya Utafiti
5000000
Ada ya Maendeleo
50000000
Ada ya Kisheria
50000000
Ada ya Agenti
*Eneo la Ekari 22 la Viwanda na Makazi linauzwa Visiga-Madafu*
*Distance* Kutoka Morogoro road mpaka site ni 4KM
*Location* Eneo lipo upande wa kulia ukitokea Dar es Salaam
-Eneo limepandwa Mikorosho na liko tambarare.
-Plot size Ekari 22
-Eneo limepimwa Ekari 15 matumizi viwanda na Ekari 7 matumizi makazi mchoro upo linauzwa lote.
-Light Industrial ni hizo plot 8 sawa na ekari 15 na makazi na biashara hivyo vidogo viko plot 55 sawa EKARI 7 *(tazama mchoro)*
*Matumizi* Light Industry na Makazi
*Bei ni shillingi milioni 500 kwa eneo lote*